Shupiwe anachukua hatua ya kudai hela zake za Bar, lakini hali inakuwa ngumu zaidi kwa Mwanida na Frank. Mwanida ameondoka nyumbani, akimwacha Frank pamoja na mtoto wake. Je, uamuzi huu utaleta utulivu au kuanza kwa changamoto mpya?
—
Endelea kutazama DStv chaneli 160
Angalia tamthilia bora Tanzania kupitia DStv: https://www.dstv.com/maishamagicbongo/sw-za/home
Pakua App ya DStv: https://bit.ly/36ZGjkz
Facebook: https://www.facebook.com/MaishaMagicBongo
Instagram: http://instagram.com/maishamagicbongo
TikTok: https://www.tiktok.com/@maishamagic_bongo
Twitter:https://twitter.com/MaishaMagicTZ