Fahad na Razia wanaingia kwenye malumbano makali .
Lakini hawajui kuwa mwanao yuko mlangoni… akiyasikia yote na kuumia kimya kimya .
Kilio cha familia kinaanza kuacha alama kwa mtoto — na hali hii inaweza kubadilisha kabisa mustakabali wao.
JIVU linaendelea kugusa hisia kwa namna ya kipekee… kila tukio linaacha maumivu na maswali mapya .
—
Endelea kutazama DStv chaneli 160
Angalia tamthilia bora Tanzania kupitia DStv: https://www.dstv.com/maishamagicbongo/sw-za/home
Pakua App ya DStv: https://bit.ly/36ZGjkz
Facebook: https://www.facebook.com/MaishaMagicBongo
Instagram: http://instagram.com/maishamagicbongo
TikTok: https://www.tiktok.com/@maishamagic_bongo
Twitter:https://twitter.com/MaishaMagicTZ