Moto wa JIVU hauzimiki!
Wiki hii tumeshuhudia mvutano mkubwa kati ya Fahad na Munir, baada ya Munir kuchukua uamuzi wa kuwapandishia mishahara wafanyakazi wa tembo bila kumshirikisha Fahad.
Kitendo hicho kimemuudhi vibaya Fahad, ambaye anaona hatua hiyo kama kuvuruga mamlaka na heshima yake ndani ya biashara.
—
Endelea kutazama DStv chaneli 160
Angalia tamthilia bora Tanzania kupitia DStv: https://www.dstv.com/maishamagicbongo/sw-za/home
Pakua App ya DStv: https://bit.ly/36ZGjkz
Facebook: https://www.facebook.com/MaishaMagicBongo
Instagram: http://instagram.com/maishamagicbongo
TikTok: https://www.tiktok.com/@maishamagic_bongo
Twitter:https://twitter.com/MaishaMagicTZ