Roommate wa Brenda adai kumtaka Ben na Jemo amwambia Dk Love kwamba Fred ni mnafiki. Wakati Jemo atiwa jela na anahitajinpesa. Edu anataka kujua ujauzito ni wanani na kama mtoto sio wake anataka kumuacha Regina. Gloria ajifunza jina la baba yake na Ben anatakujua Fred ni nani.
—
Endelea kutazama DStv chaneli 160
Angalia tamthilia bora Tanzania kupitia DStv: https://www.dstv.com/maishamagicbongo/sw-za/home
Pakua App ya DStv: https://bit.ly/36ZGjkz
Facebook: https://www.facebook.com/MaishaMagicBongo
Instagram: http://instagram.com/maishamagicbongo
TikTok: https://www.tiktok.com/@maishamagic_bongo
Twitter:https://twitter.com/MaishaMagicTZ