Regina atoka hospitali na ajui aende wapi. Eliza amtishia Henry na judge na pia kumwambia Gloria kwamba sio baba yake. Waridi ampeleka Edu nyumbani wakati Fred na Jemo warudishiwa pesa zao. Gloria aja kumuona Regina na Eliza amwambia Henry ana wiki moja ya kumpa talaka Miriam.
—
Endelea kutazama DStv chaneli 160
Angalia tamthilia bora Tanzania kupitia DStv: https://www.dstv.com/maishamagicbongo/sw-za/home
Pakua App ya DStv: https://bit.ly/36ZGjkz
Facebook: https://www.facebook.com/MaishaMagicBongo
Instagram: http://instagram.com/maishamagicbongo
TikTok: https://www.tiktok.com/@maishamagic_bongo
Twitter:https://twitter.com/MaishaMagicTZ