Miriam aambiwa kwamba alisha weka sahihi kwenye karatasi yake ya talaka. Bidu na Tunu waamua kumpa mtoto wao kwa Waridi. Hatimaye Henry akubali kuweka sahii kwenye talaka yake na Miriam. Baada ya kurudi nyumbani Miriam awafukuza Gloria na Regina wakati Mdoe akataa kutoka kwa Eliza.
—
Endelea kutazama DStv chaneli 160
Angalia tamthilia bora Tanzania kupitia DStv: https://www.dstv.com/maishamagicbongo/sw-za/home
Pakua App ya DStv: https://bit.ly/36ZGjkz
Facebook: https://www.facebook.com/MaishaMagicBongo
Instagram: http://instagram.com/maishamagicbongo
TikTok: https://www.tiktok.com/@maishamagic_bongo
Twitter:https://twitter.com/MaishaMagicTZ